Daraja
refu la kioo nchini China ambalo lilivunja rekodi wakati
lilipofunguliwa limefungwa baada ya kutumika kwa siku 13 tu.
Maafisa
wa China wanasema serikali inapanga kulifanyia matengenezo daraja
hilo ambalo limefungwa jana Ijumaa, siku ya kufunguliwa tena
itatangazwa.
Watu wakikatiza juu ya daraja hilo mara baada ya kufunguliwa kabla ya kufungwa Ijumaa
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni