.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Septemba 2016

KICHWA CHA ROMELU LUKAKU CHAIZAMISHA CYPRUS

Romelu Lukaku amepachika magoli mawili kwa kichwa wakatia Ubelgiji ikipata ushindi wa magoli 3-0 dhidi Cyprus, ikiwa ni ushindi wa kwanza kwa kocha mpya Roberto Martinez, katika mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya kombe la dunia 2018.

Mchezaji Yannick Carrasco aliongeza goli la tatu baada ya Lukaku kufunga magoli mawili yote kwa kichwa, na kuifanya Ubelgiji kuanza kuonyesha kuwa na uwezo wa kuongoza kundi lao licha ya kutofanya vyema kwenye michuano ya Euro 2016.
Romelu Lukaku akishangilia kwa kukimbia baada ya kufunga goli huku Fellaini akiwa nyuma yake

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni