.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 4 Septemba 2016

KIMBUNGA HERMINE CHAUWA WATU WAWILI MAREKANI

Mvua inayombatana na kimbuka kiitwacho Hermine imeuwa watu wawili nchini Marekani huku kimbuka hicho kikielekea kwa kasi eneo la kaskazini.

Majimbo ya kaskazini mashariki mwa Marekani yametahadharishwa kuhusiana na mvua hiyo ya kimbunga inayoeleke upande wa pwani.
                                                             Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji
                   Kimbunga hicho chenye nguvu kililiangusha lori hili kama linavyoonekana hapa 
                            Mti ulioangukia paa la nyumba ukiondolewa vikosi vya uokoaji

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni