.
.
.
.
.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga
|
TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.
mbani
NYUMBANI
HABARI
SIASA
MICHEZO
BURUDANI
TABASAMU
KIMATAIFA
Jumapili, 4 Septemba 2016
KIMBUNGA HERMINE CHAUWA WATU WAWILI MAREKANI
Mvua inayombatana na kimbuka kiitwacho Hermine imeuwa watu wawili nchini Marekani huku kimbuka hicho kikielekea kwa kasi eneo la kaskazini.
Majimbo ya kaskazini mashariki mwa Marekani yametahadharishwa kuhusiana na mvua hiyo ya kimbunga inayoeleke upande wa pwani.
Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji
Kimbunga hicho chenye nguvu kililiangusha lori hili kama linavyoonekana hapa
Mti ulioangukia paa la nyumba ukiondolewa vikosi vya uokoaji
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni ( Atom )
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni