.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 4 Septemba 2016

WAZIRI MKUU WA UINGEREZA THERESA MAY AKUTANA KWA MARA YA KWANZA NA VIONGOZI WA DUNIA

Waziri Mkuu wa Uingereza, Bi. Theresa May, amekutana kwa mara ya kwanza na viongozi wa mataifa mbalimbali katika mkutano wa G20, tangu achaguliwe kutwaa wadhifa huo baada ya Uingereza kupiga kura ya kujitoa kwenye Umoja wa Ulaya.

Hata hivyo mkutano huo uliibua hisia za machungu kwa Uingereza pale rais, Barack Obama, aliposema Uingereza haitapewa kipaumbele cha kwanza katika makubaliano ya kibiashara na Marekani, kufuatia kujitoa Umoja wa Ulaya.
                 Waziri Mkuu Teresa May akisalimiana na rais Vladimir Putin wa Urusi
                         Waziri Mkuu Teresa May akisalimiana na rais Xi Jinping wa China
    Waziri Mkuu Teresa May pia alikutana na kufanya mazungumzo na kiongozi wa Saudi Arabia

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni