.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 28 Septemba 2016

KOCHA SAM ALLARDYCE AACHIA MADARAKA YA UKOCHA WA UINGEREZA

Sam Allardyce ameachia madaraka ya ukocha wa Uingereza baada ya kuafikia makubaliano na Chama cha Soka Uingereza (FA) baada ya kuiongoza timu hiyo katika mchezo mmoja na kuwa nayo kwa siku 67 tu.

Hatua hiyo inafuatia habari ya uchunguzi ya gazeti la Telegram ambao inadai kuwa Allardyce, 61, alitoa ushauri wa jinsi ya kukwepa sheria za FA kuhusiana na uhamisho wa mchezaji.

Allardyce, anadaiwa kutumia nafasi yake kuzungumzia mpango wa kujipatia kiasi cha paundi 400,000 kuiwakilisha kampuni moja ya Mashariki ya Mbali.

Katika taarifa yake Cama cha Soka FA, kimesema alichofanya Allardyce si jambo sahihi, na kwa sasa Gareth Southgate ataiongoza kwa muda timu ya taifa ya Uingereza.
                     Ni kama anasema "Mungu wangu nimefanya nini tena hiki jamani".

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni