Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6,2016. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Busega, Raphael Chegeni, Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Mafinga Mjini, Cosato
Chumi kwenye jengo la Utawala la Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Segerea, Bonnah Kaluwa
kwenye jengo la Utawala la Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2016. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Busega, Raphael
Chegeni kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2016. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Sumbawanga mjini, Aeshi Hilaly kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni