Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipita mbele ya bweni la shule ya sekondari ya Ihungo mkoani Kagera ambalo liliporomoka kutokana na tetemeko la ardhi lililoukumba mkoa huo . Alikuwa katika ziara ya kukagua athari za tetemeko hilo na kuwapa pole wananchi, Septemba 11, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Jumatatu, 12 Septemba 2016
MAJALIWA AWAFARIJI WAATHIRIKA WA TETEMEKO LA ARDHI BUKOBA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipita mbele ya bweni la shule ya sekondari ya Ihungo mkoani Kagera ambalo liliporomoka kutokana na tetemeko la ardhi lililoukumba mkoa huo . Alikuwa katika ziara ya kukagua athari za tetemeko hilo na kuwapa pole wananchi, Septemba 11, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni