.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 2 Septemba 2016

MAMIA KWA MAELFU WAANDAMANA KATIKA JIJI LA CARACAS NCHINI VENEZUELA

Mamia kwa maelfu ya watu wameandamana katika Jiji la Caracas nchini Venezuela katika maandamano ambayo yanayohusisha pande mbili hasimu.

Wafuasi wa upinzani wamefanya maandamano makubwa kwa miaka miwili, ya kushinikiza rais
Nicolas Maduro aondoke madarakani kutokana na mgogoro wa uchumi.

Wanaomuunga mkono rais Maduro, nao wamefanya maandamano makubwa wakiwatuhumu wapinzania kwa kutaka kufanya mapinduzi.
               Waandamanaji wakikimbia mabomu ya machozi yaliyorushwa na polisi
          Baadhi ya waandamanaji walikamatwa na polisi kama inavyoonekana hapa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni