Mamia kwa maelfu ya watu
wameandamana katika Jiji la Caracas nchini Venezuela katika
maandamano ambayo yanayohusisha pande mbili hasimu.
Wafuasi wa upinzani wamefanya
maandamano makubwa kwa miaka miwili, ya kushinikiza rais
Nicolas Maduro aondoke madarakani
kutokana na mgogoro wa uchumi.
Wanaomuunga mkono rais Maduro, nao
wamefanya maandamano makubwa wakiwatuhumu wapinzania kwa kutaka
kufanya mapinduzi.
Waandamanaji wakikimbia mabomu ya machozi yaliyorushwa na polisi
Baadhi ya waandamanaji walikamatwa na polisi kama inavyoonekana hapa
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni