.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 27 Septemba 2016

MDAHALO WA URAIS MAREKANI WAGOMBEA WASHAMBULIANA VIKALI

Bi. Hillary Clinton amemuita mgombea mwenzake wa urais wa Marekani Donald Trump kuwa ni mtu mbaguzi ambaye alianzisha harakati za 'birther' ambazo zilikuwa zikihoji uraia wa rais Barack Obama.

Clinton ametoa mashambulizi hayo kwa Trump katika mdahalo wao wa dakika 90 ulioshuhudiwa na watu zaidi ya milioni 100 duniani, huku naye Trump akimponda Clinton kuwa hana sifa za urais.
             Mgombea urais wa Republican Donald Trump akiongea kwenye mdahalo huo 
         Mgombea urais wa Democratic Hillary Clinton akisisitiza jambo kwenye mdahalo huo
       Wagombea urais Trump na Clinton wakipeana mkono baada ya kumalizika kwa mdahalo wao

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni