.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Septemba 2016

MICHUANO YA OLIMPIKI WALEMAVU YAFUNGULIWA KWA SHAMRASHAMRA

Michuano ya Olimpiki 2016 kwa walemavu wapatao 4,300 imefunguliwa kwa shamrashamra za aina yake Jijini Rio nchini Brazil.

Tafauti ya michuano ya Olimpiki iliyomalizika kukosa watazamaji wa kutosha michuano ya Olimpiki walemavu inaonekana kujaa watazamaji kutokana na kuuzwa tiketi 2,000.
                 Kikundi kikitumbuiza wakati wa sherehe za ufuguzi wa michuano hiyo
                               Timu ya walemavu ya Tunisia ikiingia uwanjani kwa madaha
                      Timu ya walemavu ya Hispania ikiingia uwanjani kwa mbwembwe 
                                          Wachezaji walemavu wa Canada wakiingia uwanjani

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni