.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 2 Septemba 2016

RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI NA MKEWE JANETH WAZURU KABURI LA DKT. OMAR ALI JUMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyewahi kuwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, hayati Dk.Omar Ali Juma lililopo Wawi Mchekeni, Chake Chake, Pemba
Mke wa Rais,Mama Janeth Magufuli akiomba dua kwenye kaburi la aliyewahi kuwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, hayati Dkt. Omar Ali Juma lililopo Wawi Mchekeni, Chake Chake, Pemba

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni