.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 2 Septemba 2016

GABRIEL JESUS ATUPIA MBILI WAKATI BRAZIL IKIIFUGA ECUADOR

Mchezaji mpya wa Manchester City, Gabriel Jesus, amechochea ushindi wa Brazil kwa kufunga magoli mawili na kumpatia kocha mpya wa Brazil Tite ushindi wake wa kwanza katika mchezo dhidi ya Ecuador.

Katika mchezo huo uliochezwa eneo lililo juu kwa futi 10,000 kutoka usawa wa bahari, Brazil iliibuka na ushindi wa magoli 3-0 huku mchezaji nyota wa Brazil Neymar akifunga goli kwa mkwaju wa penati.
Gabriel Jesus licha ya kufunga magoli mawili pia alisaidia kupatikana penati iliyofungwa na Neymar
                               Neymar akishangilia baada ya kufunga goli la mkwaju wa penati

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni