.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 3 Septemba 2016

RAIS ROBERT MUGAME AWANANGA WANAOMZUSHIA KIFO KWA KUWAAMBIA ALIKUFA NA KUFUFUKA

Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amekebehi uvumi wa hivi karibuni kuhusu afya yake, kwa kusema kwa mzaha kwamba alikufa na kisha kufufuka.

Mugabe, 92, ametoa kauli hiyo ya mzaha, wakati alipowasili kutoka nje katika uwanja wa ndege wa Harare akiwa kwenye hali ya uchangamfu wakati akishuka kwenye ndege.

Safari yake ya ndege ilikuwa ielekea Asia ya Mashariki, lakini badala yake alienda Dubai, ambapo amesema alienda huku kwa masuala ya kifamilia.

Mwezi Mei, mwaka huu mke wa rais Mugabe, Grace alisema kuwa rais huyo ataiongoza Zimbabwe hata akiwa kaburini.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni