Rais wa zamani wa Brazil Luiz Inacio
Lula da Silva atafikisha mahakamani kwa mashtaka ya rushwa na
utakatishaji fedha katika mradi wa kampuni ya mafuta ya taifa ya
Petrobras.
Waendesha mashtaka wanasema
alikubali kiasi cha 3.7m reais sawa na dola milioni 11 kama rushwa
kuhusina na mradi wa mabilioni ya dola.
Lula, 70, alishafunguliwa mashtaka
mwezi Agosti kwa madai ya kuzuia uchunguzi.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni