.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 5 Septemba 2016

SONGAS FOOTBALL CLUB WAENDESHA BONANZA LA KUHAMASISHA MICHEZO, USAFI NA AFYA BORA VIWANJA VYA MAKUBURI JIJINI DAR.

SAMSUNG CSC
Mechi mbalimbali zikiwa zinaendelea katika Bonanza hilo ambalo lilikuwa na lengo la kuhamasisha Michezo, usafi na Afya Bora
Baadhi ya watu wadogo kwa wakubwa wakiendelea kufuatilia Bonanza hilo kwa makini
MC Fadhili Nandonde akiendelea kutoa utaratibu wa Mechi mbalimbali zilizokuwa zikicheza katika Bonanza hilo
Mgeni Rasmi katika Bonanza hilo Albert Kimaro ambaye ni Mkufunzi Mwandamizi Idara ya Michezo Chuo Kikuu cha Dar es salaam akikagua moja ya Timu hizo katika Bonanza hilo
Mgeni Rasmi katika Bonanza hilo Albert Kimaro ambaye ni Mkufunzi Mwandamizi Idara ya Michezo Chuo Kikuu cha Dar es salaam akizungumza na watu waliofika katika bonanza hilo na kuwapongeza waandaaji kwa kuona umuhimu wa Mazoezi, usafi na Afya Bora pia amewasihi watu wawe na utaratiu wa kufanya Mazoezi
Mwakilishi Kutoka Benki ya NMB ambao walikuwa ni moja ya wadhamini
wa Bonanza hilo Frank Rwamugira akiwasihi watu kuwa na utaratibu wa kujiwekea akiba
Watu mbalimbali wakiendelea kufuatilia Michezo hiyo , hata Boda boda nao walikuwa bize na Bonanza hilo
Mbuzi huyu ndio ilikuwa zawadi ya Mshindi katika Bonanza hilo lililoandaliwa na Songas Football Club
Rais wa Songas Football Club Ismail Sheha ambao ndio walioandaa Bonanza hilo akitoa neno la shukurani kwa wote ambao walihudhulia katika Bonanza na kusisitiza kuwa huo haukuwa mwisho wataendelea zaidi kuhamasisha Michezo, usafi na Afya Bora.
Moja ya timu ikiwa imefungwa goli la kizembe huku goli kipa asijue cha kufanya na wachezaji wengine kukimbia kwa ajili ya kujipanga zaidi
Mpira ukiendelea huku watu mbalimbali wakifuatilia Burudani hiyo kwa makini . Picha na Fredy Njeje/Blogs za Mikoa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni