.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 29 Septemba 2016

THEO WALCOTT AONYESHA MAKALI YAKE NA KUIPA USHINDI ARSENAL

Theo Walcott ameonyesha makali yake kwa kufunga magoli mawili wakati Arsenal ikiibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Basel katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Iliwachukua washika mitutu dakika sita kupata goli la kwanza kupitia Walcott akifunga kwa kichwa mpira wa kona uliopigwa na Alexis Sanchez.

Wachezaji hao wawili wa Arsenal walishirikiana tena na kutoa fursa kwa Walcott kufunga goli la pili kwa shuti la chini.
                                            Theo Walcott akifunga goli lake la kwanza kwa kichwa 
                                      Theo Walcott akianguka chini baada ya kutupia goli la pili

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni