.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Septemba 2016

TORAJAN KABILA LINALOWAFUKUA WALIOKUFA KILA MWAKA NA KUWAVALISHA NGUO MPYA

Watu wa kabila la Torajan nchini Indonesia wamekuwa wakijivunia kuwaonyesha ndugu zao waliofariki kwa kuwafukua makaburini kila mwaka na kuwavalisha nguo mpya ikiwa ni tambiko la kuonyesha heshima kwa waliokufa.

Kila mwaka kabila hilo lililopo kisiwa cha Sulawesi huwafukua watu waliokufa, ambapo huwaosha na kuwavalisha nguo mpya na kisha kujikusanya familia nzima na kupiga picha na maiti ikiwa ni tambiko lijulikanalo kama Ma'nene.
      Wazazi waliokufa wakiandaliwa baada ya kufukuliwa kwa ajili ya tambiko la Ma'nene
Wanafamilia wakipiga picha na ndugu yao maiti baada ya kumfukua, kumsafisha na kumvalisha nguo mpya

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni