.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Septemba 2016

MANCHESTER UNITED VS MANCHESTER CITY MCHEZO WENYE USAJILI GHALI KATIKA HISTORIA

Mchezo wa kesho wa timu za Jiji Manchester za Manchester United na Manchester City unatarajiwa kuwa mchezo ghali kuliko yote duniani katika historia ya soka kutokana na timu hizo mbili kwa pamoja kutumia paundi milioni 600 kwa usajili kuimarisha vikosi vyao.

Zikiwa na makocha mpya timu hizo mbili za Manchester, United wakiwa na Jose Mourinho na City wakinolewa na Pep Guardiola wenye upinzani wa jadi wote walimwaga fedha kuhakikisha wanajijenga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu.
                        Paul Pogba amesajiliwa kwa kitita kinachofikia paundi milioni 100
                               Beki John Stones alisajiliwa kwa kiasi cha paundi milioni 47.5

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni