Watumishi wa majumbani wameandamana
huko Hong Kong wakishinikiza kupigwa marufuku kitendo cha wao
kulazimishwa kusafisha madirisha ya majengo marefu.
Maandamano hayo yamefuatia vifo
kadhaa vya watumishi wa ndani katika miezi ya hivi karibuni
vilivyotokana na kuanguka wakati wakisafisha madirisha ya maghorofa.
Watumishia hao wa ndani wa Hong Kong
pia wametaka kuongezewa malipo yao, kupunguziwa muda wa kufanya kazi
na malazi bora.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni