Waziri wa Fedha wa Mexico, Luis
Videgaray, amejiuzulu kufuatia ziara ya mgombea wa urais wa Marekani
kwa tiketi ya Republican Donald Trump wiki iliyopita.
Bw. Videgaray alionekana kama
muandaaji mkuu wa mkutano wenye utata baina ya Bw. Trump na rais wa
Mexico, Enrique Pena Nieto.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni