.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 26 Oktoba 2016

ALEX OXLADE-CHAMBERLAIN AZINDUKIA KOMBE LA EFL NA KUISAIDIA ARSENAL KUIBUKA NA USHINDI

Alex Oxlade-Chamberlain amefunga mara mbili wakati Arsenal ikipambana kiume na kushinda 2-0 katika mchezo wa kombe la EFL dhidi ya timu ya Reading.

Kiungo huyo wa Uingereza, alifunga goli la kwanza kwa kuingia kwenye boksi na kuupiga mpira kwenye kona ya chini ya goli.

Reading nusura wasawazishe, kwa shuti Callum Harriott lililogongwa na kupaa juu ya goli. Oxlade-Chamberlain alifunga goli la pili kwa shuti lililogongwa na kumpoteza kipa mahesabu.
                                                    Alex Oxlade-Chamberlain akifunga goli la kwanza 
      Alex Oxlade-Chamberlain akiachia shuti lililogongwa na kutinga wavuni na kufunga goli la pili

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni