.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 26 Oktoba 2016

NYOTA MKONGWE WA BRAZIL CARLOS ALBERTO AFARIKI DUNIA

Mchezaji nyota mkongwe wa Brazil, Carlos Alberto, ambaye alikuwa kapteni katika kombe la dunia mwaka 1970 na kuibuka mabingwa, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 72.

Alberto alifunga moja ya goli bora katika historia ya kombe la dunia mwaka 1970 dhidi ya Italia kwa shuti kali la chini.

Beki huyo wa kulia Alberto alikuwa kapteni wa Brazil mara 53, na pia alishinda ubingwa wa Ligi ya Brazil akiwa na timu ya Fluminense na Santos, ambapo alicheza michezo 400.
                   Carlos Alberto akiwa ameshika kombe la dunia hii ilikuwa mwaka 2014
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni