.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 24 Oktoba 2016

BASI LAGONGA LORI NA KUUWA WATU 13 JIJINI CALIFORNIA NCHINI MAREKANI

Watu 13 wamekufa na zaidi ya 30 kujeruhiwa kusini mwa California baada ya basi lililokuwa kwenye ziara kuligonga kwa nyuma lori.

Ajali hiyo imetokea karibu na mji wa Palm Spring jana majira ya asubuhi saa za Marekani, ambapo wengi wa abiria waliokufa wanatokea latini Amerika.

Wapelelezi wanachunguza chanzo cha ajali hiyo, ambayo imetokea wakati basi hilo likielekea Jijini Los Angeles.
                                              Lori lililogongwa kwa nyuma na basi lilivyoharibika

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni