.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 24 Oktoba 2016

DEREVA LEWIS HAMILTON ASHINDA MBIO ZA GRAND PRIX ZA MAREKANI

Dereva Lewis Hamilton amepunguza pointi za ubingwa dhidi ya Nico Rosberg wakati wakipata ushindi kwa urahisi katika mbio za Grand Prix za Marekani.

Ushindi huo wa Hamilton ni wa kwanza tangu ashinde mbio Grand Prix za Ujerumani mwezi Julai na kumuweka pointi 26 nyuma ya dereva mwenzake wa Mercedes huku pointi 75 zikiwa zimebakiwa katika mbio tatu.

Rosberg alimaliza wa pili baada ya kufanikiwa kuitwa nafasi hiyo iliyopotezwa na timu ya Red Bull na dereva Daniel Ricciardo. Muaustralia huyo alimalizia wa tatu mbele ya dereva wa Ferrari, Sebastian Vettel.
                        Lewis Hamilton akiwa amesimama juu ya gari lake baada ya kushinda

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni