.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 24 Oktoba 2016

BINGWA WA DUNIA WA KURUSHA MKUKI JULIUS YEGO APATA AJALI

Bingwa wa dunia wa kurusha mkuki, Julius Yego, yupo katika hali nzuri na anafanyiwa vipimo katika hospitali ya Eldoret, Kenya baada ya kupata ajali akiwa na gari lake jana usiku.

Yego alipata ajali hiyo akiwa anaendesha gari aina ya Toyota Prado kwenye barabara Kapsoya karibu na Benki ya Equity majira ya saa nne usiku.

Gari hilo limeharibika vibaya sehemu ya mbele, limeegeshwa kituo cha polisi kati cha Eldoret, huku polisi waliokuwa zamu usiku wakizuia watu kulipiga picha gari hilo.
                                                        Julius Yego akijiandaa kurusha mkuki

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni