.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 27 Oktoba 2016

CHELSEA YAZAMA MBELE YA WEST HAM HUKU MASHABIKI WAKIPIGANA

Ugomvi baina ya mashabiki wa West Ham na Chelsea umeibuka mwishoni mwa mchezo wao wa jana wa kombe la EFL, ambao Chelsea walilala kwa magoli 2-1 kwenye dimba la London.

Chupa za plastiki na viti vilirushwa na mashabiki mwishoni mwa mechi hiyo huku mamia ya mashabiki wakorofi wakihusika na tukio hilo baya kutokea katika soka.

Katika mchezo huo Cheikhou Kouyate alifunga kwa kichwa kabla ya mapumziko na kisha Edimilson Fernandes akaongeza la pili kwa shuti la yadi 18 huku Gary Cahill akiifungia Chelsea goli pekee katika dakika ya 90.
Kipa wa Chelsea akiruka bila ya mafanikio kuzuia mpira wa kichwa uliopigwa na Cheikhou Kouyate
                       Edimilson Fernandes akiachia shuti lililzaa goli la pili la West Ham
                    Mashabiki wakizozana punde tu baada ya kumalizika kwa mechi hiyo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni