.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 9 Oktoba 2016

DEREVA NICO ROSBERG ASHINDA KWA MARA YA KWANZA MBIO ZA JAPAN GRAND PRIX

Nico Rosberg ameshinda mbio za Japan Grand Prix huku mpinzani wake Lewis Hamilton akijutia kuanza mbio hizo vibaya zilizofanyika Suzuka na kuishia kushika nafasi ya tatu.

Makosa ya Hamilton yalimpa fursa Mjerumani Roberg ya kutokuwa na kazi ngumu kuweza kutwaa ushindi huo wa kwanza wa Suzuka, na watisa katika msimu huu.
    Nico Rosberg na Lewis Hamilton wakiwapungia mikono mashabiki wa mbio za langalanga
    Nico Rosberg akimwagiwa Champagne usoni na dereva mwenzake wa timu ya Marcedes-Benz 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni