.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 23 Oktoba 2016

KHADIJA KOPA KUDONDOSHA BURUDANI KWENYE USIKU WA MSHIKE MSHIKE YA LAKE FM MWANZA.

Ni Malkia wa taarabu Tanzania, Khadija Kopa, atadondosha burudani kali#Live kwenye usiku wa Mshike Mshike ya 102.5 @lakefmmwanza ndani ya Villa Park Resort Jijini Mwanza, huku akiwa na bendi yake.

Ni Alhamisi tarehe 27.10.2016, Usikosee kwa mtonyo wa buku saba kabla ya saa tano usiku, na buku kumi baada ya saa tano usiku!

#Lakefm #LakeFmDjs #BMG #BinagiBlog #UsikuWaMshikeMshike

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni