.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 12 Oktoba 2016

KOBE BRYANT APIGA MNADA KIFAA CHAKE CHA KUJIKINGA PUA

Aliyekuwa kapteni wa LA Lakers, Kobe Bryant, anapiga mnada kifaa chake cha kujikinga pua ili kuchangisha fedha kwa taasisi ya kujitolea, kikitarajiwa kuuzwa kwa kiasi cha dola 15,000.

Bryant alilazimika kuvaa kifaa hicho baada ya kuvunjika yake katika michezo yote wakati wa mwaka 2012 katika michezo ya nyota wote.

Pia Bryant alivaa kivaa hicho akiwa anachezea Lakers, na kupachikiwa jina la 'The Masked Mamba'.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni