.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 23 Oktoba 2016

MANCHESTER CITY YALAZIMISHA SARE NYUMBANI DHIDI YA SOUTHAMPTON

Manchester City imerejea kileleni mwa ligi kuu ya Uingereza licha ya Southampton kusitisha kasi yao ya ushindi kwa kutoka sare tasa.

Wageni Southampton walikuwa wakwanza kufuatia pasi kizembe ya John Stones, kumpa fursa ya kufunga Nathan Redmond aliyemzungusha kipa na kufunga.

City ilianza kuimarika katika kipindi cha pili baada ya kuzomewa na baadhi ya mashabiki wao, na kusawazisha goli kupitia kwa Kelechi Iheanacho aliyetokea benchi.
                              Nathan Redmond akimzunguka kipa wa Manchester City Bravo
 Nathan Redmond akiachia shuti na kufunga goli kwenye goli tu baada ya kumzunguka kipa Bravo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni