.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 28 Oktoba 2016

MAROUANE FELLAINI AKATIZA MITAANI NA MDOGO WAKE ANAYEFANANA NAYE

Kiungo wa Manchester United, Marouane Fellaini, ameonekana akiwa na furaha baada ya timu yake kuibuka na ushindi dhidi ya Manchester City siku ya jumatano licha ya kutocheza.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ubelgiji alionekana akiwa mitaani Manchester jana na ndugu yake Mansour ambaye wanafanana sana kwa muonekano pamoja na afro zao.
                Marouane Fellaini na mdogo wake Mansour wakionekana wenye furaha

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni