.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 9 Oktoba 2016

PAPA FRANCIS ATEUWA MAKARDINALI WAPYA 17

Papa Francis amewatangaza makardinali 17 wapya, wakiwemo 13 ambao wanauwezo wa kushiriki kupiga kura ya kumchagua mrithi wa Papa pindi muda wake utakapoisha.

Makardinali hao wapya wa Kanisa Katoliki wengi wao wanatokea nchi zinazoendelea katika mabara ya Afrika, Asia na Latini Amerika.

Uteuzi huo uliofanyika hii leo unaonyesha kuongezeka kwa ushawishi katika Vatican wa maaskofu wa kutoka katika mataifa yanayoendelea duniani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni