.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 7 Oktoba 2016

RAIS WA COLOMBIA JUAN MANUEL SANTOS ATWAA TUZO YA NOBEL

Rais wa Colombia Juan Manuel Santos ametwaa tuzo ya Nobel ya mwaka huu kutokana na jitihada zake za kumaliza vita vya miaka 52 na kundi la waasi wa Farc.

Kamati ya Nobel imempongeza Santos kwa kufikia makubaliano ya amani na waasi wa Farc, yaliyotiwa saini mwezi uliopita baada ya miaka minne ya majadiliano.

Hata hivyo wananchi wa Colombia wamepinga makubaliano hayo kwa kura chache katika kura za maoni zilizopigwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Mapinago hayo yameuwa watu 260,000.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni