.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 31 Oktoba 2016

THOMAS MASHALI AFARIKI DUNIA

Taarifa zilizotufikia zinasema kuwa bondia mahiri nchini, Thomas Mashali amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana.

Taarifa hizo zinasema kuwa, Mashali alipigwa na watu hao maeneo ya Kimara jijini Dar es Salaam. Tutawaletea taarifa zaidi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni