.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 21 Novemba 2016

ANDY MURRAY AMFUNGA BINGWA MARA TANO NOVAK DJOKOVIC

Andy Murray amemfunga bingwa mara tano Novak Djokovic na kushinda michuano ya ATP World Tour na kumaliza mwaka 2016 akiwa mchezaji namba moja duniani.

Wakati mwaka huu ukielekea ukingoni mchezaji huyo namba moja Murray alishinda fainali hiyo iliyokuwa na ushindani mkali kwa seti 6-3 6-4 katika dimba la O2 Arena Jijini London.

Akiongea baada ya ushindi huo Murray raia wa Scotland, amesema anajisikia vizuri kushinda na kuwa mchezaji namba moja duniani katika mchezo wa tenesi.
                                                     Andy Murray akiwa makini wakati wa mchezo huo 
                            Novak Djokovic akimpongeza kwa kumkumbatia Andy Murray

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni