.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 22 Novemba 2016

BASI LAPATA AJALI NA KUUWA WANAFUNZI WATANO NCHINI MAREKANI

Dereva wa basi aliyekuwa akiwasafirisha wanafunzi 35 nchini Marekani amekamatwa baada wanafunzi 5 kufa kufuatia kutokea ajali mbaya ya basi hilo.

Dereva huyo Johnthony Walker, 24, amfunguliwa mashtaka kadhaa yakiwemo ya kuua bila ya kukusudia, uendeshaji gari vibaya na kuhatarisha maisha.

Basi alilokuwa akiendesha Walker lilianguka na kuugonga mti na kusababisha vifo vya wanafunzi watano.

 Mwanamke mmoja akiwa na watoto watatu waliokuwa na majeraha mwilini baada ya kupata ajali

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni