.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 22 Novemba 2016

MAREKANI YAMTUPIA VIRAGO KOCHA JURGEN KLINSMANN

Mchezaji wa zamani wa Ujerumani Kocha Jurgen Klinsmann amefukuzwa kuinoa timu ya taifa ya Marekani.

Klinsmann, 52, ambaye alishinda kombe la dunia na Ujerumani mwaka 1990, alikuwa akiinoa Marekani tangu mwaka 2011.

Uamuzi wa kumtosa Klinsmann umekuja baada ya Marekani kupoteza nyumbani 2-1 dhidi ya Mexico na kufungwa ugenini 4-0 na Costa Rica katika michezo wa kuwania kufuzu kombe la dunia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni