Conor McGregor na Eddie Alvarez
wameonyesha uwezo wao mbele ya kundi la watu katika Madison Square
Garden na kuonyesha kujiamini katika pambano lao la ngumi la mchezo
za UFC.
Wakali hao wa mapigano ya ngumi na
mateka walijitokeza kuonyesha uwezo wao kwenye uwanja wa mpira wa
kikapu wakiwa na timu ya New York Knicks na kuonyesha utaalam wao wa
mapambano mbele ya mashabiki 1000.
Conor McGregor akiangalia mpira aliourusha na kufunga kikapu
Eddie Alvarez akionyesha uwezo wake wa kupambana



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni