.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 18 Novemba 2016

JAJI AMUAGIZA MPENZI WA BOBBI KRISTINA BROWN KULIPA DOLA MILIONI 36

Jaji mmoja huko Atlanta amemuagiza mpenzi wa marehemu Bobbi Kristina Brown, Nick Gordon, kulipa kiasi cha dola za Marekani milioni 36 kwa kusababisha kifo chake kimakosa.

Kristina Brown, ambaye ni binti wa Whitney Houston na Bobby Brown, alikutwa akiwa amepoteza fahamu kwenye bafu, uso wake ukiwa kwenye maji Januari 2015.

Mpenzi wake Gordon, ambaye alikuwa akiishi naye pamoja na rafiki moja walikuwa katika ripoti ya polisi iliyoeleza walikuwemo nyumbani wakati wachunguzi walipofika katika eneo la tukio la kifo.
Bobby Brown akionyesha picha ya utoto ya Bobbi Kritina wakati akitoa ushahidi Mahakamani
          Bobby Brown akiwa kwenye majonzi makali wakati wa usikilizaji wa kesi hiyo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni