.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 28 Novemba 2016

MAJALIWA AAGANA RAIS WA CHAD ALIYEONDOKA NCHINI LEO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Rais wa Chad, Idriss Deby kwenye uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere wakati Rais huyo alipoondoka nchini Novemba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Chad, Idriss Deby kwenye uwanja wa ndege wa Julius kambarage Nyerere jijini Dar es salaam kabla ya Rais huyo kuondoka nchini Novemba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Rais wa Chad, Idriss Deby kwenye uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam wakati Rais huyo alipoondoka nchini Novemba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
  Rais wa Chad, Idriss Deby akipokea heshima kwenye uwnja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere wakati alipoondoka nchini Novemb 28, 2016. Kushoto kwake ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye alimsindikiza. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Rais wa Chad, Idriss Deby kwenye uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam wakati Rais huyo alipoondoka nchini Novemba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais wa Chad, Idriss Deby akiwapungia wananchi kwenye uwanja wa ndege wa Dar es salaam wakati alipoondoka nchini Novemba 28, 2016. Kulia ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye alimsindikiza na kushoto ni mke wa Rais wa Chad, Hinda Deby. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni