.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 19 Novemba 2016

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO KUNDI LA 54/16

                                                               Baadhi ya Viongozi wenye Kampuni za Ulinzi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaniva (wa pili kulia) akipokea risala kutoka kwa mmoja wa wahitimu , Asma Rajabu (kushoto) wakwanza kulia ni Kaimu Kamanda Kikosi cha 831 KJ Mgulani JKT Meja, Dorah Kawawa
Kaimu Kamanda Kikosi cha 831 KJ Mgulani JKT Meja, Dorah Kawawa akifatilia jambo kwa umakini
Luteni, Nelson Ponera akiangalia vijana wake wanavyo jituma mbele ya mgeni rasmi
 Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaniva (wa katikati) akizungumza jambo wakati akifunga mafunzo ya Mgambo kundi la 54/16 yaliyofanyika viwanja vya JKT Mgulani Dar es Salaam, ambapo 482 wamehitimu Mafunzo hayo, kulia ni Kaimu Kamanda Kikosi cha 831 KJ Mgulani JKT Meja, Dorah Kawawa na Luteni, Nelson Ponera
Mmoja wa wahitimuwa wa mafunzo hayo akionyesha umahiri wake kwa kucheza karate
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Jitegemee wakifuatilia kwa makini
                           Gwaride likipita mbele ya mgeni rasmi kwa mwendo wa haraka
                         Gwaride likipita mbele ya mgeni rasmi kwa mwendo wa haraka
                                Gwaride likipita mbele ya mgeni rasmi kwa mwendo wa pole
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Felix Lyaniva akizungumza jambo wakati alipokuwa akifunga mafunzo ya mgambo
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Felix Lyaniva (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya Mgambo yalio fanyika Dar es Salaam
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaniva (wa pili kulia) akikagua gwaride la Mgambo wakati wa kufunga mafunzo hayo yaliyofanyika viwanja vya JKT Mgulani Dar es Salaam, wa kwanza kulia ni Kasim Kiambwe na Luteni, Nelson Ponera
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Felix Lyaniva (kushoto) akisalimiana na Kaimu Kamanda Kikosi cha 831 KJ Mgulani JKT Meja Dorah Kawawa wakati wa kufunga mafunzo ya Mgambo yaliyofanyika viwanja vya JKT Mgulani Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni