.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 19 Novemba 2016

ABIRIA 10 WANUSURIKA KIFO BAADA YA BASI LAO KULIPUKA MOTO KENYA

Abiria wapatao 10 wamenusurika kifo baada ya basi walilopanda la Lamu kulipuka moto katika eneo la Gamba kwenye Kaunti ya Lamu Mkoa wa Mombasa nchini Kenya.

Hata hivyo mizigo yao yote iliyokuwamo kwenye basi hilo la kampuni ya Tahmeed, iliteketea kwa moto katika tukio hilo.

Kwa muijibu wa abiria, tukio hilo limetokea wakati wakielekea Mombasa kutokea Lamu, ambapo awali basi hilo lilipata hitilafu na baadhi ya abiria wakamishiwa kwenye basi lingine.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni