.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 18 Novemba 2016

MWANAUME AJICHOMA MOTO KWENYE BENKI AUSTRALIA NA KUJERUHI WATU

Mwanaume mmoja nchini Australia amewasha moto kwenye benki moja Jijini Melbourne na kujichoma moto pamoja na kujeruhi watu wengine 26.

Polisi wamesema watu sita kati ya majeruhi hao wapo katika hali mbaya, huku wengine wakiwa wameungua na kuvuta moshi, wakiwemo watoto.

Polisi wamesema mtuhumiwa huyo aliingia kwenye tawi la benki ya Commonwealth, katika kitongoji cha Springvale na kutumia mafuta yanatowaka kusha moto.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni