.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 25 Novemba 2016

WAENDESHA MASHTAKA HISPANIA WATAKA SAMWEL ETO'O AFUNGWE JELA

Waendesha mashtaka wanashinikiza kufungwa jela miaka 10 mchezaji wa zamani wa Barcelona Samuel Eto'o kwa tuhuma za kukwepa kodi wakati akichezea klabu hiyo.

Waendesha mashtaka pia wanataka Eto'o kulipa faini ya dola milioni 15.1 kwa makosa manne ya kukwepa kodi, na kuikosesha mamlaka ya kodi ya Hispania dola milioni 4 katika mwaka 2006-2009.

Kama hiyo haitoshi waendesha mashtaka pia wanataka adhabu kama hiyo itolewe kwa muwakilishi wake kwa wakati huo Jose Maria Mesalles Mata.
                     Samwel Eto'o akiwa na Lionel Messi wakati huo akichezea Barcelona

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni