.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 30 Novemba 2016

WANANCHI WA CUBA WAFURIKA REVOLUTION SQUARE KUMUENZI FIDEL CASTRO


Makumi ya maefu ya watu wakiwa wamekusanyika katika eneo la Revolution Square wakisikiliza hotuba zilizokuwa zikitolewa na wakuu wa nchi na watu wengine mashuhuru katika kumuenzi kiongozi wa mapinduzi ya taifa hilo Fidel Castro. 
Rais wa Cuba Raul Castro akitoa hotuba yake mbele ya wananchi waliokusanyika Revolution Square
Muigizaji wa filamu Mmarekani Danny Glover ambaye ni miongoni mwa watu wakaribu wa marehemu Fidel Castro akiwa miongoni mwa wageni
Askari polisi wa kike wakiwa na picha za marehemu Fidel Castro katika eneo la Revolution Square
Mwanasiasa wa Urusi Vyacheslav Volodin akihutubia umma nyuma yake wakiwa viongozi mbalimbali
                Amir wa Qatar Hamad bin Jalifa Al Than akisalimiana na viongozi wa dunia


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni