Timu ya Chelsea imerejea tena
kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza na kufikia idadi ya ushindi katika
michezo tisa mfululizo, wakati Diego Costa akifunga goli pekee dhidi
ya West Brom katika dimba la Stamford Bridge.
Diego Costa akipiga mpira wa kuzungusha uliojaa wavuni na kumshinda kipa wa West Brom
Diego Costa akishangilia baada ya mpira alioupiga kujaa wavuni



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni