.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 2 Desemba 2016

DONALD TRUMP AMTEUA JENERALI JAMES MATTIS KUWA WAZIRI WA ULINZI


Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemteuwa Jenerali James Mattis, ambaye aliwahikuwa mwanajeshi wa kikosi cha majini nchini Irak na Afghanistan, kuwa Waziri wa Ulinzi.

Jenerali Mattis ambaye anajulikana pia kama “Mad Dog” alikuwa mkosoaji mkubwa wa utawala wa rais Barack Obama, kuhusiana na sera za Mashariki ya Kati, hususan kuhusiana na nchi ya Iran.

Jenerali Mattis amekuwa akielezea Iran kama kama taifa pekee tishio kwa amani na utulivu wa mataifa ya Mashariki ya Kati.
Donald Trump akimnyooshea kidole Jenerali Mattis kati kati akiwa na Makamu wa rais Mteule Mike Pence

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni