.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 2 Desemba 2016

MAJALIWA AZUNGUMZA NA WALIMU WA ARUSHA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Walimu wa Arusha kwenye ukumbi wa Simba katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) Desemba 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Walimu wa Arusha jana walifurika kwenye ukumbi wa Simba katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) kumsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika mkutano kati yake na wao aliouitisha. Pichani, baadhi ya walimu wakiwa wamekaa kwenye ngazi na sakafuni baada ya viti kujaa. 

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni