.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 10 Desemba 2016

MAJALIWA AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 55 YA UHURU

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein katika sherehe za miaka 55 ya uhuru kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein katika sherehe za miaka 55 ya uhuru kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
  Makamu wa Rais, Samia Suluhu akisalimiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam kuhudhuria sherehe za miaka 55 ya Uhuru jijini Dar es salaam Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais John Magufuli akiwapungia wananchi waliofurika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam wakati alipoingia kwenye uwanja huo kuongoza sherehe za miaka 55 ya Uhuru Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais John Magufuli akikagua gwaride katika sherehe za miaka 55 ya uhuru kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais Joh Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam kuongoza sherehe za miaka 55 ya Uhuru jijini Dar es salaam Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Makomando wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania wakionyesha uwezo wao wa kukabiliana na adui bila kutumia silaha za moto katika maadhimisho ya miaka 55 ya uhuru kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Makomando wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania wakionyesha uwezo wao wa kukabiliana na adui bila kutumia silaha za moto katika maadhimisho ya miaka 55 ya uhuru kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)




Hakuna maoni :

Chapisha Maoni