Manchester United itavaana na Hull
City katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la EFL, wakati Liverpool
ikishuka dimbani kukabiliana na Southampton.
United, ambayo iliifunga West Ham
4-1 jana usiku, watacheza mchezo wao wa kwanza wa nusu fainali katika
dimba la Old Trafford.
Southampton, iliyopata ushindi
rahisi dhidi ya Arsenal siku ya jumatano, watakuwa wenyeji wa
Liverpool katika dimba la St Mary kwenye mchezo wa kwanza wa fainali
na kumalizia Anfield.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni